Pata Habari kwa kuandika email yako hapa chini:

KUMBE UKIMTUMIA DIAMOND MESEJI INAKAGULIWA NA WEMA KWANZA, ANGALIA HAPA AKIONESHWA !!!!!!!!!!!!!

...!
Acha muvi iendeleeee.....!
Hii kapo sasa imepitiliza,yani mapenzi ndo yamepamba moto, mbongo fleva, huyo afurukuti kwa madame Wemaa, na Wema kuhakikisha anaendelea kumdhibiti baby wake, sasa anakagua meseji za mzee, Ni nomaa, asikwambie mtu hapo bado ndoaa tuuuuu
                              Tuwaache walaleeeeeeeeeeeee......!

0 comments: