Msanii Keysha Hatimaye Amejifungua Mtoto Wa Pili Ambaye Ni Wakiume, Tazama Picha Za Mtoto Huyo Na Mama Yake.!.
Msanii nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khadija Shaban maarufu kama ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume siku ya Jumatatu (Mei 5) katika hospitali ya Mount Mkombozi Kinondoni.


0 comments: