50 CENT Mtoto wa 50 Cent alieamua kumchana baba kwa kutotokea kwenye graduation yake

Mtoto wa 50 Cent aitwae Marquise Jackson alitegemea baba yake ambae ni 50 Cent angehudhuria graduation yake akiambatana na watu wengine wa karibu na familia ila haikua hivyo.
50 Cent hakutokea ndio maana mwanae huyu alipata hasira mpaka kuzionyesha kwenye mtandao wa kijamii kwa kusema ‘nilitarajia kumuona baba yangu kwenye graduation yangu leo ila hajatokea, mama yangu na dada yangu siku zote wako na mimi… hata hivyo nimefanikisha bila wewe’


Baadae taarifa zilitoka kwamba 50 Cent anasema hakupewa taarifa siku ya graduation ni lini na vilevile nyingine zinasema alikatazwa kuhudhuria na Mama Marquise.
50 Cent asubuhi ya May 21 2014 kwenye instagram yake zimepatikana picha mbili ambazo zinaonekana zina maneno yanayohusu hii ishu yake na mtoto.


0 comments: