Kocha Pep Guardiola amefunga ndoa na huyu mpenzi wake wa longtime..!

Ndoa imefungwa kiserikali huko Matadepera,
Catalonia Hispainia ambapo Pep na mchumba wake Cristina pamoja na watoto
wao watatu na wazazi wao, walifanya sherehe ndogo kuhalalisha uhusiano
wao na picha zilizopatikana ni hizi hapa chini.


0 comments: